Thursday, October 28, 2010

Kituo Bandia cha Kupiga Kura Chagundulika Shinyanga

Kuna jamaa yangu ameniambia kwamba kuna taarifa za kugundulika kituo Bandia
( Feki ) Cha kupiga kura , Anasema wananchi wa maeneo hayo walikuta majina
yao yameandikwa mara 2 moja kwenye eneo lao na kopy ya pili kwenye eneo
lingine na kubandikwa ambako hakuna kutuo lakini majina yao yalibandikwa
hapo .

Hizi ni tetesi tu sijadhibitisha lakini watu wawe makini kwa kuangalia
vizuri vituo na majina yao

GONGA HAPA KUFUATILIA
Kituo Bandia cha Kupiga Kura Chagundulika Shinyanga

0 comments:

Post a Comment