Sunday, October 17, 2010

SLAA ATISHA KAHAMA LEO JIONI

Slaa alikuwa kahama leo jioni atisha, watu waliminika kwa walee ambao ni
wakristo ungesema yesu amerudi.alijaribu kuwatuliza watu wamsikilze kwanza kabla
ya ushabiki kwani ushabiki huishia hapa uwanjani.kama kawaida yake alianza na
secta ya madini jinsi ufisadi ulivyoathiri secta hii.
ni mara ya ya kwanza kumwona slaa hadharani ila watu walivyomiminika uwanjani
pale na wakipiga kura atashinda kwa kishindo.

SLAA ATISHA KAHAMA LEO JIONI

0 comments:

Post a Comment