Thursday, October 21, 2010

SUGU FOR MBEYA


Mwenyekiti wa CHADEMA Mbeya Mjini Bw. Mwambigija akimwaga upako kabla ya Sugu kupanda

Msanii mahiri G Solo pamoja na mmoja wa wasimamizi wa kampeni Kwame Anangisye wakiwa na full gwanda

Watu mbalimbali wakimpongeza baada ya kumaliza mkutano wake wa kampeni

Umati wa wana Mbeya ukimsindikiza Sugu baada ya kumaliza mkutano wake wa kampeni

0 comments:

Post a Comment