Sunday, October 24, 2010

Moja ya vipaumbele vyangu ni MAJI!nawaendea wapiga kura huko wachotapo maji


Wakina mama huwa wakati mwingine wanakosa fursa ya kushiriki katika mikutano ya hadhara wakisaka maji. Nina wafata huko huko waliko wanakochota maji nikiwaelewesha namna nitakavyosimamia utatuzi wa kero ya maji

Diwani wangu Mushi wa Goba akilakiwa na wanaGOBA!Chagua madiwani wa CHADEMA!CHAGUA MNYIKA

0 comments:

Post a Comment