Sunday, October 24, 2010

Tawi la Nyerere(CHADEMA) katika matawi ya NATO na Kosovo ya CCM na CUF




Kama ishara kuu ya kumuenzi Mwl.J.K.NYERERE siku ya Oktoba 14, 2010 nilizindua tawi la CHADEMA maeneo ya Manzese Bakhressa kwa jina la Mwl. Nyerere. Tawi hilo likiwa eneo sambamba na matawi ya vyama vingine vya siasa nchini yaliyopewa majina kama NATO na KOSOVO.

Nikifungua bendera ya CHADEMA na ipepee kwa wananchi wote ikisimamia ujumbe uliobebwa katika bendera hii ya CHADEMA. Ujumbe mzito na muhimu kwa Taifa zima la Tanzania

Hili ndilo Tawi la Mwl.J.K.NYERERE eneo la Manzese Bakhressa



Wananchi wengi sana walisitisha shughuli zao na kujumuika nasi katika tukio muhimu sana la kidemokrasia kufungua Tawi la Mwl.NYERERE eneo la Manzese Bakhressa

0 comments:

Post a Comment