Saturday, October 2, 2010

DR WP SLAA AKIENDELEZA KAMPENI

Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, akimnadi mgombea ubunge katika jimbo la Hai kupitia chama hicho, Freeman Mbowe, wakati wa mkutano wa kampeni zilizofanyika Bomang'ombe mjini
Mwasisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edwin Mtei, akiwahutubia wanachi wa Siha mkoani Kilimanjaro, wakati wa mkutano wa mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa (kulia)

Mgombea urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, akihutubia mkutano wa hadhara wa kampeni, uliofanyika Bomang'ombe mjini mkoani Kilimanjaro (matukio yote na mpiga picha mkuu wa gazeti la Tanzania daima Bw Joseph Senga)

0 comments:

Post a Comment