Sunday, October 10, 2010

KAMPENI ZA CHADEMA 2010


Mzee Mabere Marando aliweza kuungana nami kuwaelimisha wana wa Makuburi kuwa na uthubutu wa kufanya maamuzi ya kukichagua CHADEMA ili kuleta maendeleo kwa Tanzania
Wananchi wakifatilia mkutano wa Makuburi

Nawashukuru sana wananchi ambao waliamua kuchangia mchakato wa kuelekea ushindi kwa kutoa chochote walichonacho katika mkutano wa Makuburi.

0 comments:

Post a Comment