Tuesday, October 5, 2010

MICHANGO WIKI YA KWANZA

Wito wa kuchangia mabadiliko umeanza vizuri kwani wiki ya kwanza ile iliyoishia tarehe 27 Septemba kiasi kilichochangwa na Watanzania kwa njia mbalimbali ni shilingi 11,569,000! Kwa kiwango kidogo kidogo ambacho kilikuwa kimependekezwa ni wazi kuwa watu wengi zaidi wamechangia. Nilitoa wito kuwa Chadema watupe updates za kila wiki ili tujue tunachangia kwa kiasi gani. Tuko kwenye challenge ya kufikia Shilingi milioni 100! Mchanganuo kidogo:

NMB/CRDB
11,000,000
MPESA 758 223344
402,000
MPESA 764 776673
152,000
ZAP 0789 555333
15,000


Natumaini wiki hii tutaendelea tena kufanya hivyo na once again natoa changamoto march my amount or beat it. Wiki hii nitatoa Shilingi 100,000 kuchangia mabadiliko tunayoyataka.

Unaniuliza kwanini? Kwa sababu naitikia wito huu:



WEWE JE?

0 comments:

Post a Comment