Saturday, October 2, 2010

WANANCHI WANAVYOTAKA MABADILIKO


Mmoja wa wakazi wa mji wa Karatu, akionyesha taa ya chemli katika mkutano wa mgombea urais wa tanzaia kupitia Chama ca Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, akiashiria kuongeza mwanga wa kuona zaidi maovu yanayofanyka nchini. Mkutano huoo ulifanyika kwenye Uwanja wa Bwawani mjini Karatu


Baadhi ya akinamama walihudhurua mkutano wa kampeni wa mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, wakishangilia wakati mgombea huyo alipohutubia katika Uwanja wa Bwawani mjini Karatu


Wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wakiwa na mabango yenye ujumbe mbalimbali na vifaa mbalimbali, ikiwa ni ishara ya

kumpokea mgombea urais wa Tanzania kupitia chama hicho, Dk. Willibrod Slaa, alipowasili kwenye Uwanja wa Sabasaba mjini Tarime


Wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wakimpokea mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, kwenye Uwanja wa Sabasaba mjini Tarime


Wananchi wa Ilembula jimbo la Njombe Magharibi wakilipuka kwa furaha wakati mkutano ukiendelea sasa viwanja vya Ilembula















































mgombea udiwani wa kata ya Makorogoni David Kombo akijinadi baada ya kutambulishwa na mgombea ubunge jimbo la Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa.




















































































0 comments:

Post a Comment