Friday, September 24, 2010

KATA YA VIJIBWENI

Wafuasi wa CHADEMA wakiandamana kutoka katika viwanja vya Kidongo Chekundu, Dar es Salaam, mchana huu, kwenda kwenye viwanja vya Jangwani katika uzinduzi wa kampeni za chama hicho utakaofanywa punde na mgombea wake, Dk. Wilbroad Slaa.

0 comments:

Post a Comment