Friday, September 24, 2010

WAGOMBEA UBUNGE NA UDIWANI UBUNGO

Mnyika azindua kampeni za Diwani kata ya Sinza Bw.Pamba Renatus Jumapili


Mnyika akimnadi Jukwaani Mgombea Udiwani Kata ya Sinza kupitia CHADEMA Bwana PAMBA Renatus jana viwanja vya Sevenup sinza palestina .

John Mnyika na Diwani wake wa Kata ya Sinza Pamba Renatus wakiomba Kura kwa wananchi wa Sinza Palestina jana

Mabere Marando naye alikuwepo kumnadi Mnyika na kuwasilisha ujumbe toka kwa Mgombea Uraisi kupitia CHADEMA Dr Slaa

Umatiulifika kusikiliza sera za Mnyika na Diwani wake. Nashukuru sana wale wote walioshiriki kuchangia safari ya Ushindi wa Jimbo la Ubungo katika mkutano ule wa Sinza kwa mkutano kuweza kukusanya Tsh laki moja na elfu sitini na mbili (162,000/-).

0 comments:

Post a Comment