Saturday, September 25, 2010

CHAGUA DR SLAA - CHAGUA CHADEMA

Dk. Wilbroad Slaa




Mgombea wa ubunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jimbo la Karatu,mchungaji Israel Yohana Natse akihutubia maelfu ya wananchi wa mjini Karatu.




Aliyekuwa Mgombea Ubunge kwa tiketi ya chama cha CCM,na baadae akahamia chama cha CHADEMA hivi karibuni,John Shibuda akizungumza mbele ya wananchi leo jioni wakati chama hicho kilipokuwa kikizindua kampeni na Ilani yake katika viwanja vya Jangwani na kuhudhuriwa na mamia ya watu.


0 comments:

Post a Comment