Showing posts with label Washindi 2010. Show all posts
Showing posts with label Washindi 2010. Show all posts
Monday, November 15, 2010
Mbunge wa jimbo la Mbulu Mustapha Akonay
Posted by
MARAFIKI WA CHADEMA
at
1:39 AM
0
comments
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook

Labels:
PICHA/PICTURES,
Washindi 2010
Mbunge wa jimbo la Mbeya kwa chama cha CHADEMA,Mh.Joseph Mbilinyi
Mbunge wa jimbo la Mbeya kwa chama cha CHADEMA,Mh.Joseph Mbilinyi akila kiapo hivi karibuni ndani ya jengo la Bunge,wakati mchakato wa kuapishwa Wabunge wateule ukiendelea.Picha kwa hisani ya Richard Mwaikenda.
Posted by
MARAFIKI WA CHADEMA
at
1:38 AM
0
comments
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook

Labels:
PICHA/PICTURES,
Toka Bungeni,
Washindi 2010
Wednesday, November 10, 2010
WABUNGE WATEULE VITI MAALUMU WA CHADEMA
Tume ya Uchaguzi imetangaza nafasi 104 ya wabunge wa viti maalumu kwa mgawanyo wake wa kuweza kuingazia uwiano wa wingi wa kura za ubunge. Hivyo baada ya kukokotoa uwiano wa viti hivyo CCM imejizolea viti 65, CHADEMA kimepata viti 23 na CUF kimepewa viti 10.
Katika bunge lililopita kulikuwa na Viti maalumu 75 ambapo CCM ilikuwa ina viti 58, CUF viti 11 na CHADEMA viti 6. Viti vingine 6 vimeachwa wazi vikisubiri matokeo ya majimbo 7 ambayo uchaguzi wake haukufanyika.
Yafuatayo ni majina ya wanaopewa nafasi kutajwa kuwa wabunge wateule kutoka CHADEMA.
MAJINA YA WABUNGE WATEULE 23
WA VITI MAALUMU WA CHADEMA NI:
Lucy Owenya, Ester Matiko, Mhonga Ruhwanya, Anna Mallac, Paulina Gekuli na Conchesta Rwamlaza, Suzan Kiwanga, Suzan Lyimo, Grace Kiwelu, Regia Mtema, Christowaja Mkinda, Anna Komu, Mwanamrisho Abama, Joyce Mukya, Leticia Nyerere na Chiku Abwao.
Wengine ni Naomi Kaihula, Grace Kiwelu, Rose Kamili, Christina Lissu Mughiwa, Raya Ibrahim, Philipa Mturano, Miriam Msabaha na Rachel Mashishanga.
Katika bunge lililopita kulikuwa na Viti maalumu 75 ambapo CCM ilikuwa ina viti 58, CUF viti 11 na CHADEMA viti 6. Viti vingine 6 vimeachwa wazi vikisubiri matokeo ya majimbo 7 ambayo uchaguzi wake haukufanyika.
Yafuatayo ni majina ya wanaopewa nafasi kutajwa kuwa wabunge wateule kutoka CHADEMA.
MAJINA YA WABUNGE WATEULE 23
WA VITI MAALUMU WA CHADEMA NI:
Lucy Owenya, Ester Matiko, Mhonga Ruhwanya, Anna Mallac, Paulina Gekuli na Conchesta Rwamlaza, Suzan Kiwanga, Suzan Lyimo, Grace Kiwelu, Regia Mtema, Christowaja Mkinda, Anna Komu, Mwanamrisho Abama, Joyce Mukya, Leticia Nyerere na Chiku Abwao.
Wengine ni Naomi Kaihula, Grace Kiwelu, Rose Kamili, Christina Lissu Mughiwa, Raya Ibrahim, Philipa Mturano, Miriam Msabaha na Rachel Mashishanga.
Posted by
MARAFIKI WA CHADEMA
at
10:08 AM
0
comments
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook

Labels:
Habari/News,
Washindi 2010
Tuesday, November 2, 2010
WASHINDI WA UBUNGE CHADEMA 2010 - 2015
- Halima James Mdee -Kawe/Chadema
- Tundu Lissu - Singida Mashariki/Chadema
- Mustapha Quorro Akonaay- Mbulu/Chadema
- Israel Yohana -Karatu/Chadema
- John Mnyika -Ubungo/Chadema
- Silinde David -Mbozi Magharibi/Chadema
- Salvatory Naluyaga Machemuli-Ukerewe/Chadema
- Ole Sambu -Arumeru Magharibi/Chadema
- Joseph Mbilinyi -Mbeya Mjini/Chadema
- Philemon Ndesamburo Kiwelu-Moshi Mjini/Chadema
- Dk Antony Mbasa -Biharamulo Magharibi/Chadema
- Joseph Selasini -Rombo/Chadema
- Hezekiah Wenje -Nyamagana/Chadema
- Peter Msigwa -Iringa Mjini/Chadema
- Freeman Mbowe -Hai/Chadema
- Vincent Nyerere -Musoma Mjini/Chadema
- Godbless Lema -Arusha Mjini/Chadema
- Zitto Kabwe/C -Kigoma Kaskazini/Chadema
- Hayness Samson -Ilemela/Chadema
- John Shibuda -Maswa Magharibi/Chadema
- Meshack Opulukwa -Meatu/Chadema
- Sylvester Kasulimbayi Mhoja-Maswa Mashariki/Chadema
- Regia Mtema / Chadema
- Prof Mlambiti /Chadema
Posted by
MARAFIKI WA CHADEMA
at
2:27 AM
0
comments
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook

Labels:
Wagombea,
Washindi 2010
JOHN SHIBUDA - MASWA MAGHARIBI
Posted by
MARAFIKI WA CHADEMA
at
2:26 AM
0
comments
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook

Labels:
Wagombea,
Washindi 2010
PETER MSIGWA - IRINGA MJINI
MGOMBEA wa chama cha Demokrasia na maendeleo ( Chadema) jimbo la Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa amevunja ngome ya CCM mkoa wa Iringa baada ya kuwabwaga vibaya wapinzani wake katika matokeo ya ubunge baada ya kujizolea kura 17742 dhidi ya kura 16916 alizopata mgombea wa chama cha mapinduzi (CCM) Monica Mbega ambaye ni mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro.
Posted by
MARAFIKI WA CHADEMA
at
2:25 AM
0
comments
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook

Labels:
Washindi 2010
ZITTO KABWE - KIGOMA KASKAZINI
Posted by
MARAFIKI WA CHADEMA
at
2:24 AM
0
comments
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook

Labels:
Washindi 2010
GODBLESS LEMA - ARUSHA MJINI
Posted by
MARAFIKI WA CHADEMA
at
2:24 AM
0
comments
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook

Labels:
Washindi 2010
JOHN MNYIKA - UBUNGO
Posted by
MARAFIKI WA CHADEMA
at
2:23 AM
0
comments
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook

Labels:
Washindi 2010
FREEMAN MBOWE - CHADEMA HAI

Posted by
MARAFIKI WA CHADEMA
at
2:22 AM
0
comments
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook

Labels:
Washindi 2010
Subscribe to:
Posts (Atom)