Tuesday, November 2, 2010

JOHN SHIBUDA - MASWA MAGHARIBI

Mh. John Magale Shibuda (pichani) na Silvester Kasulumbayi wametangazwa rasmi na wasimamizi wa uchaguzi kuwa wabunge wa maswa magharibi na mashariki kwa tiketi ya CHADEMA baada ya kushinda kwa kura nyingi katika uchaguzi mkuu.

0 comments:

Post a Comment