Tuesday, November 16, 2010

Wagombea wa nafasi ya ubunge jimbo la Mpanda mjini

Wagombea wa nafasi ya ubunge jimbo la Mpanda mjini na mpanda vijijini wakiwa katika picha ya pamoja mbunge mteule wa jimbo la Mpanda kata Bw Said Arfi (Chadema) wa pili kulia baada ya kumalizika kwa mdahalo wa wagombea ubunge katika majimbo hayo uliomalizika katika ukumbi wa Katavi Mpanda mjini,mdahalo huo uliendeshwa na jumuiko la asasi za kiraia Tanzania na kuratibiwa na asasi ya kiraia mkoa wa Rukwa (Rango) kutoka kushoto ni Juma Shaban (CUF) Said Arfi (Chadema) Ezekia Ndimubenya (CUF , Masanja Katambi ( Chadema) na Masanja Kakofia ( NCCR-Mageuzi ) . Picha na habari na Francis Godwin

0 comments:

Post a Comment