Sunday, November 14, 2010

Mbunge Zitto Kabwe akisisitiza jambo

Mbunge Zitto Kabwe akisisitiza jambo wakati wa ziara ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za mitaa ilipofanya ziara wilayani Mbozi, nyuma ni Picha ya Rais mstaafu wa awamu ya pili Ally Hassan Mwinyi.

0 comments:

Post a Comment