Sunday, November 14, 2010

Mheshimiwa Dk Wilbrod Slaa

Katibu Mkuu wa Chadema na aliyekua Mgombea Uraisi kupitia chama hicho Mheshimiwa Dk Wilbrod Slaa akielekea kwenye mkutano maalum na wabunge wateule wa chadema kwenye Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma

0 comments:

Post a Comment