Monday, November 15, 2010

Mbunge wa jimbo la Mbeya kwa chama cha CHADEMA,Mh.Joseph Mbilinyi

Mbunge wa jimbo la Mbeya kwa chama cha CHADEMA,Mh.Joseph Mbilinyi akila kiapo hivi karibuni ndani ya jengo la Bunge,wakati mchakato wa kuapishwa Wabunge wateule ukiendelea.Picha kwa hisani ya Richard Mwaikenda.

0 comments:

Post a Comment